Ad Code

Matokeo ya Round ya 16 NBC Premier League, NBCPL Round 16 Results

NBC Premier League 2021/2022, Round 16 results, Standings, Young Africans sc

Young African's Players, Mayele celebrating the goal with his teammates



Tunakuletea matokeo ya mechi mbali mbali za roundi ya 16 ya ligi kuu Tanzania bara NBC Premier League. 
Ikiwa ni Mzunguko wa pili wa ligi ya NBC Premier League ambao ulianza tarehe 25.02.2022 kwa kuchezwa mechi kati ya Geita Gold dhidi ya Namungo

Matokeo yalikua Geita Gold 1-1 Namungo

Mchezo wao ulichezwa katika uwanja wa Nyankumbu Stadium, Geita 1600hrs, Geita fc walikua nyumbani

➤Yanga Vs Kagera Sugar 27.02.2022 Results

Tarehe 27.02.2022 ilichezwa mechi kati ya yanga sc dhidi ya Kagera Sugar katika uwanja wa Benjamin Mkapa Stadium majira 1900hrs

Yanga walikua nyumbani wakiwakaribisha Kagera Sugar

Matokeo yalikua ni Yanga 3-0 Kagera sugar

Magoli yakifungwa na Mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele, akifunga mabao mawili, na moja likifungwa na Saidoo

Hii ilikua mechi yao ya marudiano ya mzunguko wa pili wa ligi ya NBC Premier League

Mechi yao ya kwanza ambayo walicheza huko Kagera, matokeo yalikua ni Kagera Sugar 0-1 Yanga

Matokeo ya mechi zingine ni kama ifuatavyo:-

Mbeya Kwanza 1-2 Mtibwa fc (Sokoine Stadium, Mbeya)


KMC 3-0 Polisi Tanzania (Azam Complex, Dar es Salaam)


Ruvu Shooting 1-1 Dodoma Jiji (Mabatini Stadium, Pwani)


Tanzania Prison 1-1 Mbeya city (Sokoine Stadium, Mbeya)


Azam 0-0 Coastal Union (Azam Complex, Dar es Salaam)


Msimamo wa NBCPL Raundi ya 16, NBCPL Standings

NBC Premier League Standings, Round 16









Ad Code