Ad Code

Matokeo Simba Vs Biashara United, NBCPL Match Results 04 March.2022

 NBC Premier League results, Tanzania Premier League Board, Simba sc, Biashara United, Simba vs Biashara United, Matokeo kati ya Simba vs Biashara United leo, Simba vs Biashara United today's results

Simba vs Biashara United


Leo tarehe 4 March, 2022, Simba imeingia dimbani kucheza dhidi ya wanajeshi wa mpakani Biashara United katika uwanja wa Benjamin Mkapa Stadium

Simba wako nyumbani, mechi yao ya leo, ni kiporo cha roundi ya 16 ambapo hawakuwepo nchini baada ya kwenda kushiriki michezo yao miwili(2) ya CAF Confederation Cup dhidi ya USGN na RS Berkane

Hata hivyo matokeo ya mechi hizo, walitoka sare na USGN kwa kufungana 1-1, lakini wakapoteza kwa RS Berkane kwa kufungwa 2-0

Leo Simba wameweza kuifunga Biashara United kwa magoli 3-0

Simba sc players celebrating their victory


Simba 3-0 Biashara United

Magoli yamefungwa na Sakho '9', Mzamiru '14', na Chama '18'

Read this: Mzunguko wa Pili wa NBC Premier league, NBCPL fixture

Ad Code